TEHRAN (IQNA)- Askari 100 wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameuvamia na kuuvunjia heshima Msikiti wa Nabii Ibrahim AS katika mji wa Al Khalil (Hebron) katika eneo la Palestina ambalo unalikalia kwa mabavu la Ukingo wa Magharibi.
Habari ID: 3474847 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/24
TEHRAN (IQNA) – Wiki hii kumefanyika kumbukumbu kwa mwaka mwaka wa 27 tokea Mzayuni mmoja aliyekuwa na misimamo ya kufurutu ada aliwashambulia na kuwamiminia risasi Waislamu waliokuwa wakitekeleza ibada ya Swala katika Msikiti wa Haram ya Nabii Ibrahim mjini al Khalil (Hebron) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3473688 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/28